.

.

.

.


TUMSIFU THE GREAT

BEHIND THE SCENE

  • MOVIE SHOOTING

    Wakati wa utengenezaji wa movie inayoitwa BACK TO SCHOOL
  • BACK TO SCHOOL

    SHOT IN TANGA TANZANIA
  • MUSIC VIDEO

    Wakati wa utengenezaji wa music video inakwenda kwa jina la I NEED U
  • MOVIE BACK TO SCHOOL

    Directed by TUMSIFU KOMBE
  • BACK TO SCHOOL

    wakati wa utrngenezaji wa movie inayoitwa BACK TO SCHOOL
  • MOVIE NAME-WIVU

    Behind the scene ya upigaji picha wa movie inayoitwa WIVU
  • MUSIC VIDEO HERE

    Upigaji wa picha wa Music video, msanii anajulikana kwa jina la Rider, wimbo DECEMBER, Shot in Tanga Tanzania
  • MOVIE-WIVU HERE

    Upigaji picha wa movie inayojulikana kwa jina la WIVU

Monday, June 4, 2012

SEBASTIAN KOLOWA UNIVERSITY COLLEGE-KUTANGAZWA KWA ZABUNI


               SEBASTIAN  KOLOWA UNIVERSITY COLLEGE

                                                                 OF

                                     TUMAINI UNIVERSITY MAKUMIRA
                                                 P.O. BOX 370, Lushoto.

                                    Email: tumasosekuco@gmail.com


           ZABUNI YA KUENDESHA CAFTERIA YA WANACHUO
             KWA MWAKA 2012/2013

Sebastian Kolowa University College ni Chuo Kikuu Kishiriki cha Tumaini University.Chuo hiki kipo umbali wa kilomita nane  kaskazini mwa mji wa Lushoto, Barabara kuu iendayo Mlalo , katika safu za milima ya kijani kibichi ya Usambala kwa jina la utani ; Uswisi  ya Afrika;
Chuo Kikuu kinakaribisha ZABUNI ya kuendesha Cafteria ya wanachuo. Cafteria hii inauwezo wa kuhudumia watu wasiopungua 600 kwa wakati mmoja.

Sifa za mwombaji;
(a) Awe na leseni ya kuendesha Cafteria/Hoteri/Mgahawa.
(b)            Awe na VAT na TIN. Aonyeshe uwezo wa kifedha
(c) Awe na uzoefu wa kuendesha Cafteria/Hoteri/Mgahawa kwa muda usiopungua miaka mitatu au zaidi.
(d)            Ataje kiwango cha kodi atakacholipa kwa mwezi. Cafteria inavifaa muhimu kama vile meza, viti,meza za maandalizi na vyumba baridi vya kuhifadhia vyakula mbalimbali.
(e) Ataje aina ya majiko atakayotumia Kwa kupikia kama vile Gesi Umeme au Mkaa.
(f)  Aainishe aina za vyakula na bei zake.
(g)Awe na vifaa vya msingi kama vile sahani, bakuli, glasi, vikombe, vijiko, umma, visu n.k.

MASHARTI YA ZABUNI;

(a)                        Maombi yaliyofungwa vizuri Kwa Lakiri na kuandikwa juu ya bahasha ‘ZABUNI YA KUENDESHA CAFTERIA YA WANACHUO’na kupelekwa kwa katibu, Serikali ya Wanachuo TUSO – SEKUCo, S.L.P 370, Lushoto.
(b)                        Mwombaji anatakiwa kulipa ada ya zabuni ya Tshs. 50,000/= (Elfu hamsini) tu, fedha ambayo hairudishwi.Zabuni iambatane na pay- in – slip ya malipo hayo, itakayolipwa kupitia, SEKUCo –SO. A/C No. 4162301220 NMB Lushoto Branch.
(c)Mwombaji ataruhusiwa kutembelea Cafteria hiyo siku za kazi kuanzia saa 2.30 asubuhi hadi saa10.30 jioni.
(d)                        Mzabuni atatakiwa kuonyesha aina ya vyakula na bei zake.
(e)Siku ya mwisho ya kuleta zabuni itakuwa tarehe 14 Julai 2012 saa 4.00 asubuhi.
(f)  Zabuni zitafunguliwa mbele ya wazabuni walioomba au wawakilishi wao kwenye ufunguzi huo tarehe 14 Julai 2012 saa 4.00 asubuhi.
(g)                        Muombaji atakayefanikiwa ataruhusiwa kuendesha Cafteria husika.

Kwa mawasiliano zaidi piga namba zifuatazo;

                    +255  7131  29097.
                     +255  7543  60761.
                     +255  7547  65515.

                             Katibu
SERIKALI YA WANACHUO  TUSO –SEKUCo
S . L . P 370, LUSHOTO.

RIDER_DECEMBER OFFICIAL VIDEO, VIDEO DIRECTED BY TUMSIFU KOMBE THE GREAT

CHAZ MAVOKO-SONG KWAHERI, Video directed by Tumsifu the great films

wibiya widget

TUMSIFU THE GREAT © 2012.All Rights Reserved.Designed by Tumsifu Kombe Modified by Nicolaus Trac-0716 276 000 :ICT EXPERT Sponsored by: JIPANGE