.

.

.

.


TUMSIFU THE GREAT

BEHIND THE SCENE

  • MOVIE SHOOTING

    Wakati wa utengenezaji wa movie inayoitwa BACK TO SCHOOL
  • BACK TO SCHOOL

    SHOT IN TANGA TANZANIA
  • MUSIC VIDEO

    Wakati wa utengenezaji wa music video inakwenda kwa jina la I NEED U
  • MOVIE BACK TO SCHOOL

    Directed by TUMSIFU KOMBE
  • BACK TO SCHOOL

    wakati wa utrngenezaji wa movie inayoitwa BACK TO SCHOOL
  • MOVIE NAME-WIVU

    Behind the scene ya upigaji picha wa movie inayoitwa WIVU
  • MUSIC VIDEO HERE

    Upigaji wa picha wa Music video, msanii anajulikana kwa jina la Rider, wimbo DECEMBER, Shot in Tanga Tanzania
  • MOVIE-WIVU HERE

    Upigaji picha wa movie inayojulikana kwa jina la WIVU

Sunday, May 13, 2012

CHUO KIKUU SEBASTIAN KOLOWA UNIVERSITY COLLEGE CHATOA ELIMU YA URAIA VIJIJINI


Chuo kikuu kishiriki cha Tumaini university makumira, Sebastian Kolowa university College (SEKUco)kilichopo mkoani Tanga kimetoa elimu ya uraia kwa shule,na wananchi wilayani Lushoto.
    Sebastian Kolowa university College (SEKUco) ambacho ni chuo pekee Tanzania kinachotoa Shahada ya Elimu ya mahitaji maalumu, Shahada ya Sheria pamoja na Shahada na Eco-tourism na Nature Conservation kilitoa elimu hiyo jana 10/05/2012 kwa Kuanzia na Shule ya sekondari Magamba iliyopo wilayani Lushoto
      Kupitia  Organisation iliyoanzishwa Chuoni hapo na wanafunzi wanaosoma Elimu ya Siasa na Uongozi (political science and Public Adminstration) ijulikanayo kama SEPSSA ( Sekuco Political Science Student Association) walitoa elimu ya Uraia kwa Wanafunzi wa Shule hiyo kuhusiana na maswala ya haki na wajibu wa raia, uchaguzi huru na wa haki, na kujibu Maswali mbalimbali yaliyoulizwa na wanafunzi hao-

WANAFUNZI WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA

     Akifungua warsa hiyo Mwenyekiti wa SEPSSA Sande Salum, ambaye ni mwanafunzi wa Shahada ya Elimu Maalumu, Sayansi ya Siasa na Uongozi (POLITICAL SCIENCE NAD PUBLIC ADMINSTRATION) aliwasihi wanafunzi hao kuzielewa haki zao za kimsingi pamoja na kuwajibika kwa faida yao na Taifa kwa ujumla, Huku akiwaelezea umuhimu wa Rasilimali zilizoko wilayani kwako ikiwa ni pamoja na misitu na mazao mbalimbali ya chakula na matunda pia.

MWENYEKITI WA SEPSSA AKIWASILISHA MADA

Mwenyekiti huyo alieleza kuwa watatoa Elimu ya Uraia kwa Shule zote za msingi na Sekondary, pamoja na kwa Wananchi wote kwa ujumla, hii ni kutokana na wanachi wengi hasa wa vijini kutokuwa na Elimu ya uraia na hivyo kupelekea kuchagua viongozi wazembe na wasio wawajibikaji, na hivyo kurudisha maendeleo ya jamii nyuma na Taifa kwa ujumla.

MHAMASISHAJI TEDDY SANGA AUGUSTINO

KUTOKA KUSHOTO, HEADMASTER WA MAGAMBA SECONDARY. 2, MWALIMU 3. MJUMBE WA SEPSS, SANGA TEDDY AUGUSTINO, 3. MWENYEKITI WA SEPSSA MR. SANDE SALUM




                  "SEPSSA FOR CHANGE"

RIDER_DECEMBER OFFICIAL VIDEO, VIDEO DIRECTED BY TUMSIFU KOMBE THE GREAT

CHAZ MAVOKO-SONG KWAHERI, Video directed by Tumsifu the great films

wibiya widget

TUMSIFU THE GREAT © 2012.All Rights Reserved.Designed by Tumsifu Kombe Modified by Nicolaus Trac-0716 276 000 :ICT EXPERT Sponsored by: JIPANGE