Taarifa tulizozipata ivi punde: Msanii wa
muziki wa mchiriku hapa nchini Tanzania maarufu kama Omari Omari
amefariki dunia leo...
MSIBA WA OMARY OMARY UPO NYUMBANI KWAO TEMEKE
MIKOROSHINI
Akielezea kifo cha msanii huyo, Mkubwa Fella ambaye ni jirani yake
amesema marehemu Omari Omari alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kifua na
alikuwa amelazwa katika hospitali ya
Temeke lakini usiku wa kuamkia leo mwanamuziki huyo alifariki dunia MUNGU AILAZE ROHO YA MAERHEMU MAHALI PEMA PEPONI AMINI