TUMSIFU THE GREAT

About Me
- TUMSIFU HARRY KOMBE
- Am a student at SEBASTIAN KOLOWA MEMORIAL UNIVERSITY [SEKOMU], A JOURNALIST AND MANAGING DIRECTOR AT TUMSIFU THE GREAT FILMS, ALSO A GRAPHICS DESIGNER, AUDIO AND VIDEO PRODUCER
HARAKATI
The great akiwa na Mbunge wa Arusha Mjini MH GODBLESS LEMA
CHAT ROOM
Try Relay: the free SMS and picture text app for iPhone.
LABELS
- 2 (1)
- BUSSINESS NEWS (4)
- ENTERTAINMENT GOSSIP (28)
- FILMS (10)
- INTERNATIONAL NEWS (5)
- PICHA UCHI (5)
- SPORTS (2)
- STUDENTS NEWS (11)
- TANZANIA NEWS (41)
- TECHNOLOGY (1)
WASOMAJI
TUMSIFU KOMBE-Junior THK. Powered by Blogger.
KUWA MMOJA WAPO WA WADAU! FOLLOW HERE!!
SOMA HABARI ZILIZOPITA
BEHIND THE SCENE
-
MOVIE SHOOTING
Wakati wa utengenezaji wa movie inayoitwa BACK TO SCHOOL -
BACK TO SCHOOL
SHOT IN TANGA TANZANIA -
MUSIC VIDEO
Wakati wa utengenezaji wa music video inakwenda kwa jina la I NEED U -
MOVIE BACK TO SCHOOL
Directed by TUMSIFU KOMBE -
BACK TO SCHOOL
wakati wa utrngenezaji wa movie inayoitwa BACK TO SCHOOL -
MOVIE NAME-WIVU
Behind the scene ya upigaji picha wa movie inayoitwa WIVU -
MUSIC VIDEO HERE
Upigaji wa picha wa Music video, msanii anajulikana kwa jina la Rider, wimbo DECEMBER, Shot in Tanga Tanzania -
MOVIE-WIVU HERE
Upigaji picha wa movie inayojulikana kwa jina la WIVU
Monday, November 26, 2012
KAMANDA WA POLISI MKOANI TANGA ATHIBITISHA KIFO CHA SHAROBARO
Msanii Maarufu nchini Tanzania aliyekuwa anakuja kwa kasi katika
muziki na pia matangazo ya biashara likiwemo la Airtel Money la kampuni ya simu ya Airtel aliyejulikana kwa jina la Sharobaro a.k.a Sharo Milionea amefariki dunia
Kamanda wa Polisi mkoani Tanga, Afande Constatine Masawe, amethibitisha kutokea kwa kifo cha wa Sharobaro, kufuatia ajali ya gari katika kijiji cha Lusanga, Muheza, mkoani Tanga ambako ndio nyumbani kwao.
Taarifa zinasema kuwa Hussein Ramadhani au Sharo Milionea alikuwa akiaendesha gari namba T478 BVR Toyota Harrier akitokea Dar es salaam kwenda Muheza alipofika eneo la ajali gari lake liliacha njia na kupinduka mara kadhaa na kusababisha kifo chake, mwili wa marehemu umehifadhiwa kwenye hospitali Teule ya wilaya ya Muheza.
Katika eneo hilo inasemekana hakuna kona kali sana wala ubovu wa barabara kwenye sehemu aliyopata ajali Sharo Milionea
RIDER_DECEMBER OFFICIAL VIDEO, VIDEO DIRECTED BY TUMSIFU KOMBE THE GREAT
CHAZ MAVOKO-SONG KWAHERI, Video directed by Tumsifu the great films
wibiya widget
SIKILIZA RADIO KISS FM HAPA
SOMA MAGAZETI HAPA
center>
ADVERTISE HERE

SOMA HABARI MPYA
LIKE PAGE YETU
MEET ME ON FACEBOOK
WEBSITES LINK
HABARI ZILIZOBAMBA
-
TANZANIA BUREAU OF STANDARDS PRESS RELEASE STANDARDS DAY ESSAY COMPETITION Tanzania Bureau of Standards (TBS) has great ...
-
Mwanamke mmoja Mkazi wa wilaya ya Kilolo mkoani Iringa, Aliyetambulika kwa jina la Tupendaye Ndongolo amejichoma kisu shingoni baada ya kukw...
-
MOVIE back to school imetengenezwa na NORTHWOOD PICTURES, Directed by TUMSIFU KOMBE Movie hii itakuwa dukani kuanzia April 01
PROUDLY SPONSERED BY

COMMENT HERE.....ACHA UJUMBE HAPA
BLOG MARAFIKI
-
-
-
-
-
-
-
-
Cheka nuna.11 years ago
-
-
-
-
-
-